Please Limited time Offer!

Nguu Za Jadi Possible KCSE Questions And Answers

Bembea Yamaisha Possible Kcse Questions and Answers

Contact 0754238886 for Answers or Download App here

Maswali ya NGUU ZA JADI

Swali La 1:  Bainisha Nguu Mbalimbali Zilizotinga Maendeleo ya Nchi

riwaya ya Nguu za Jadi. (alama 20)

QUESTION 2: Questions on Nguu za Jadi

2. ‘‘Mrima, dunia yote inajua aliyemsaliti Yesu Kristo. Unajua mtu huyo aliishia wapi?

a) Fafanua muktadha wa dondoo hili (alama 4)

b) Tambua mbinu mbili za kimtindo zinazojitokeza katika dondoo hili. (alama 4)

c) Fafanua namna wahusika walivyowaendea kinyume wenzao katika riwaya ya Nguu

za Jadi.

QUESTION 3 Maswali Ya Nguu za Jadi

3. Riwaya: Nguu za jadi.

a) Changanua mbinu za kimtindo katika kifungu hiki. ( alama 5)

“Ama kweli,moto ule umenitia taflisi.Nitaishia kula mwande na wanangu.Huko ndiko kufa

kingoto,”Mangwasha alijisemea kwa huzuni,lakini akajipa moyo.Miaka huweza kutia ngozi ya mwili

makunyanzi.Mangwasha alikuwa na Imani ya kuishi.Imani hiyo uvumilivu na tumaini.Alivifungafunga vile

vitu,akawatazama tena wanawe waliolala sakafuni kwenye maabadi yale ya Mungu.Alikumbuka usiku huo

alipoingia humo na wanawe kupitia kwa dirisha lililokuwa wazi.Hata alipofaulu,bado alihisi wale watu

wanamfuata humo.

b) Eleza kilichokuwa kimesababisha matukio haya. ( alama 4)

c) Eleza umuhimu wa mandhari ya sura ya pili katika riwaya ya Nguu za jadi. (alama 5)

d) “Alifunzwa kutotumia sifa zake za kike alizokirimiwa na muumba kustarehesha wanaume ili

kujinufaisha.”

i. Eleza muktadha wa dondoo hili. ( alama 4)

ii. Kwa kutolea mifano,onyesha jinsi baadhi ya wahusika wa kike wanavyotumia sifa za kike

kujinufaisha kutokana na wanaume. ( alama 2)

QUESTION 4: Swali la Nguu za Jadi

Eleza namna maudhui ya  ubinafsi yalivyoshughulikiwa katika riwaya hii.        (Al.20).

QUESTION 5

Mwanao? Mimi mwanao mimi? Tangu siku ile uliyonila kivuli, mimi si mwanao tena……’

a) Weka dondoo hii katika muktadha wake       (Al.4)

b).Tambua na ueleze tamadhali mbili za usemi zilizotumiwa katika dondoo hii. (Al.4)

c). Taja na ueleze sifa za msemaji.    (Al.6)

d). Taja na ueleze umuhimu wa msemewa.        (Al.6)

Download Mwongozo wa Nguu za Jadi: Free

Nguu Za Jadi Possible KCSE Questions And Answers

Mapambazuko Ya Machweo Possible KCSE Questions And Answers

Bembea Yamaisha Possible Kcse Questions and Answers

Scroll to Top