Please Limited time Offer!

FORM 1 END OF TERM 3 2022 Exam-KISWAHILI Answers

GET THE QUESTIONS HERE

  1. Ipe anwani mwafaka taarifa                                                                            ( alama 1)
  2. Ukweli kuhusu uvutanu sigara.
  3. Sigara husheheni idadi ya sumu? taja tatu kati ya hizo.                                 (alama 3)
  4. Nikotini
  5. Hewa ya kaboni monoksaidi lami
  6. Eleza madhara mawili y uvutaji wa sigara                                                     (alama 4)
  7. Huletea kansa ya mapafu, mdomo, umio koo
  8. Sumu ya kaboni monoisaidi huzuia wambazaji wa chembeshemba muhimu mwilini
  9. sumu ya lalmi huathiri mapafu
  10. husababisha maradhi ya vidondal vya tumbo.
  11. Eleza hila zinazotumiwa na makapuni ya sigara kuwavutia wateja.              ( alama 4)
  12. Tangazo la sigara linalomwonyesha mvutaji kama mwananichezo maarufu
  13. Kuweka tangazo lindoonyesha hatari za uvutaji sigara pembeni pahala ambapo halionekani vizuri.
  • taja sababu tatu zinazowafanya vijana kuvuta sigara.                                    ( alama 3)
  • Wanashawishiwa na matangazo ambayo hupambwa kwa njia ya kuvutia
  • Shinikizoo na vishawishi nya wenzao
  • kutojua madhara ya uvutaji wa sigara
  • watoto wanawaona wazazi au ndugu
  •  Eleza maana ya msamiati ufuatao kama uliyotumiwa katika makala.

i) Shinilizo – rika

  • Kulazimishwa sutanda jammbo la watu kwa vika moja

ii) Hunadi

  • Hutoa fangareo

SEHEMU B MATUMIZI YA LUGHA  ( ALAMA 50)

    1.  Sarufi ni nini.                                                                                         ( alama 2)

  • Kanuni za lugha zonazotumiwa ili kupata ufasal wa usanifu katika lugha.

  2. Matamshi ya konsonanti za Kiswahili hubainishwa kutegemea vigezo vitatu. Vitage ( ala4)

  • Mahali hawa inapozuiliwa
  • Jinsi hawa inavyozuliwa
  • Hali ya mtetemeko katika nyuzi za sauti

3.  a. Eleza maana ya.

i. sauti ghuna .                                                                                                        ( alama 2)

  • Konsonanti zinazotokeza mtetemeko katika nuzi za sauti zianpotamkwa
  • mf,b,d, z.n.k

ii. Sauti hafifu.                                                                                                                        ( alama 2)

  • Hazitokezi mtetemoko wowote
  • p,s,t, n.k

b) Orodhesha konsonanti mbilimbili ambazo ni;

  1. Vizuio – kwamiza

ch

  1. Vipasuo vya kaakaa laini

k,g

  1. Vipasuo vya ufizo

t,d

4. a. Eleza maana ya silabi                                                                                         ( alama 2)

  • Sehemu ya neon lenye harufi ambazo huweza kuamkwa mara moja au kwa pamoja

b) Andika maneno mawilimawili yenye muundo wa silabi ya:

i) Irabu            oa ua au n.k

ii) Silabi mwambatano            mbwa kunya bwana n.k

5. a. Bainisha aina za maneno katika sentensi zifuatazo.                                           ( alama 2)

i) Maria hufikiri sana siku hizi

  • N T E E

B. Nomino hizi katika ngelo gani?                                                                       (alama 2)

i. Mwenendo

  • U – I

ii) Ukuti

  • U – IZI

6. Tulipokuwa tunaagana na sahibu Wangu aliniandikia anwani yake ambayo ni slp 5 namsore

(alama 2)

  • Tulipokuwa tunaagara na salibu wangu aliniandikia anwani yake ambayo ni S.L.P5 Namsore

7. Andika kwa wingi.                                                                                                 

Upepo wa kusini ulipeperusha bati la paa la nyumba na kuharibu kifaa muhimu.          ( alama 2)

  • Upopo wa kusihi ulipeperusha mabati ya paa za nyumba na huharibu vifaa muhimu

8. Tunga sentensi yenye mapangilio ufuatao.                                                                   ( alama 2)

nomino+kivumishi+kitenzi+kielezi+kielezi

  • Mwanafunzi mtukufu aliadhibiwa nikali sana.
  • N         V         T         E         E        

9. Tofautisha kati ya shadda na kiimbo

  • Kiimbo- mawimbi ya sauti jinsi sauti inavyopanda  na kushuka mtu anapoongea
  • Shadda – Mkazo unawekwa kwenye silabi Fulani ya nenoili liweza kutokeza maan yake halisi

10. Taja na ueleze aina mbili za ala za matamshi toa mifano kwa kila aina.

  • Ala sogezi – viungo vyenye kusongea songea kwenye viungo vingine wakati wa kutamka
  • Ala tuli – Viungo ambavyo vimetilia au havisogei wakati wa kutoka mf meno, ujizi kaaka

11. Huku ukitoa mifano mwafaka, eleza maana ya”

i. Vitawe

  • Maneno yenye maana zaidi ya moja
  • mf, paa ,ndege, mbuzi, kifaru

ii. Visawe:

  • Maneno  yenye maana sawa
  • mf rafiki mwandari

12. Onyesha silabi inayowekewa shadda kwenye maneno yafuatayo.

i. Karatasi

  • Kara’tasi

ii. Barabara (shwari)

  • BA’rabara

iii. Barabara (njia kuu)

  • Bara’bara

13. Eleza maana ya nasahau hizi                                                                                    (alama2)

i. Jipalia makaa

  • Kujingiza kwenye shida

ii. Enda dalji

  • Enda kwa maringo

14. a.Tofautisha kati ya konsonanti na Irabu.                                                            (alama1)

  • wakati wa kuzitamka irabu hewa haizuiliwi mahali popote ilahali wakati wa suzitamka kosonanti hawa huzuiliwa kwenye ala mbalimbali za kutamka.

b. Utamkaji wa irabu hu tegemea sifa tatu zitaje.                                                 (alama3)

…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

SEHEMU C:

ISIMU – JAMII (ALAMA 15)

i. Eleza maana ya isimu jamii                                                                                      (alama3)  

  • Matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali

ii. Lugha ni nini.                                                                                                         (alama3)

  • Chombo cha mawasiliano

iii. Fafanua majukumu matano yanyotekezwa na lugha katika jamii.(alama 10)

  • kuwezesha jamii kuwasiliana
  • husaidia katika kubadilishana mawazo
  • lugha huweka kumbukumbu
  • hutumiwa kuelimisha kufundisah
  • kufalamisha aya kupasha habari taarifa n.k
  • Kubududisha / kuchangamsha

SEHEMU D: FASIHI  (ALAMA 20)

I. Eleza maana ya Fasihi simulizi.                                                                         (alama2)

  • Fasiha simulizi – masimulizi au ufandaji tunaopokea au kuuwakilisha kwa mdomo

ii. Eleza dhima ya Fasihi katika jamii.                                                                  (alama5)

  • kuelimisha
  • kuendeleza utamaduni
  • kukuza uanii
  • kuburudisha
  • kioo cha jamii
  • n.t

iii. andika tanzu zozote tatu za Fasihi simulizi.                                                          (alama 3)

  • Hadithi
  • maigizo
  • semi
  • ushairi
  • mazungumzo

iv. Eleza tofauti tano kati ya Fasihi simulizi.  Andishi.                                              (alama10)

Fasihi sumuliziFasili andishi
Huwasiliswa kwa mdomoHilifadhiwa papo hapoMali ya jamiiMuundo wake huwa halisiUzuri wake untegemea ubigwa wa anayewasilisha jukwaani  MaandishiMaandishi hayabadilikiMali ya mtu binafsiNgumUsuri wakeUategemea usanii wa mwadisi
Scroll to Top