Please Limited time Offer!

FORM 2 END OF TERM 3 2022 Exam-KISWAHILI Answers

GET THE QUESTIONS HERE

JIBU MASWALI YOTE

  1. Haki za watoto zina maana au umuhimu gani?                                                          (alama 2)
  2. Zinawezesha watoto wote katika himaya zao kunufaika
  3. Taja haki tano ambaza mtoto anatakiwa kuwa nazo kulingana na kifungu.                        (alama5)
  4. Kuishi na kupata chakula chenye lishe bora
  5. Kupata elimu
  6. Kutopigwa na kutumikishwa
  7. Kutalazimishwa kufanya kazi
  8. Kuishi katika nyumba na makazi bora
  9. Eleza mifano mitatu kuonyesha jinsi haki za watoto zinavyokiukwa.                               (alama 3 )
  10. Kutekwa na kutumikishwa vitani
  11. Kufanyishwa kazi kipunda
  12. Kupigwa na kinyimwa chakula
  13. Kuishi katika mazingira hatari
  14. Unadhani ukiukaji wa haki za watoto unaweza kuepukwaje?                                             (alama 2)
  15. Serikali kushirikiana na kuhakikisha watoto wote wamo shuleni kwa kuhakikisha elimu ya bure.
  16. Kupeleka miswada bungeni kuhusu haki za watoto na kupitisha kwa bsheria.
  17. Eleza maana ya msamiati ufuatao kama ulivyotumika:                                                      (alama 3)
  18. Mkataba
  19. Makubaliano kuhusu kitu/jambo Fulani
  20. Ukiukaji
  21. Kutenda kinyume na sharia/ makubaliano Fulani.
  22. Lindi la ufukara
  23. Umaskini

SEHEMU YA B:  SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA

  1. Taja aina mbili za sauti za Kiswahili.                                                                                   (alama 2)
  2. Konsonanti
  3. Irabu
  4. Onyesha shadda katika maneno yafuatayo.                                                                          (alama 2)
  5. Cherehani
  6. Chere’hani
  7. Kitabu
  8. Ki’tabu
  9. Ainisha viambishi katika neno lifuatalo.                                                                              (alama 3)

Tutakayempelekea

Tu                             ta                ka                    ye                  m                 pelek         e                      a

Kiambishi   kiambishi    kiambishi        kirejeleo     mtendwa      mzizi      mnyambuliko     kiishio

cha nafsi     cha wakati   cha wakati

  • Kanusha sentensi zifuatazo.                                                                                                 (alama 2)
  • Ningesoma ningepita.
  • Nisingesoma nisingepita
  • Ningalikuwa na uwezo ningalimsaidia.
  • Nisingalikuwa na uwezo nisingalimsaidia.
  • Andika sentensi ifuatayo kwa udogo kisha katika wingi.                                                    (alama 2)

Mtoto mkaidi aliiba kitabu cha mwenzake.

  • udogo – Kitoto kikaidi kiliiba kijitabu cha mwenzake.
  • wingi – Vitoto vikaidi viliiba vijitabu vya wenzao.
  • Onyesha viwakilishi katika sentensi zifuatazo,                                                                    (alama 2)
  • Yule na huyo wamemaliza kazi yao.
  • Chenyewe kimekaliwa na wageni wake.
  • Akifisha sentensi ifuatayo.                                                                                                   (alama 3)

mama maria amenunua kabeji kitunguu mchicha sukumawiki na sufuria.

  • Mama Maria amenunu; kabeji, kitunguu, mchicha, sukumawiki na sufuria.
  • Andika sentensi zifuatazo katika wakati ujao.                                                                     (alama 2)
  • Mama ameninunulia kalamu.
  • Mama ataninunulia kalamu.
  • Wanafunzi wameenda nyumbani.
  • Wanafunzi wataenda nyumbani.
  • Nomino hizi zipo katika ngeli gani?                                                                         (alama 2)
  • Mwezi
  • U – I
  • Maji
  • YA – YA
  • Andika sentensi ifuatayo katika usemi wa taarifa.                                                               (alama 2)

“Uhuru huu tunaojivunia ulipatikana kwa umwagikaji mwingi wa damu,” mwanasiasa alisema.

  • Mwanasiasa alisema kuwa uhuru huo waliojivunia ulipatikana kwa umwagikaji mwingi wa damu.
  • Unda nomino kutokana na vitenzi vilivyo mabanoni ili kukamilisha sentensi zifuatazo. (alama 2)
  • ………………Ndoto………………………ilikuwa ya kuogofya mno. (ota)
  • Jengo hili lilijengwa na ………mjenzi/mjengo/ujenzi…………………………………..hodari. (jenga)
  • Tunga sentensi sahihi ili kutofautisha maana ya vitate vifuatavyo.                                     (alama 2)

Suka – kutengeneza ukili au nywele

Zuka – kutokea kwa kitu/ jambo ambalo halikuwepo.

  • (Mwalimu ahakiki majibu ya mwanafunzi ambapo atatunga sentensi)
  • Tumia kivumishi ‘-enyewe’ kukamilisha sentensi zifuatazo.                                              (alama 2)
  • Mimi nataka mikate         yenyewe
  • Manukato ………yenyewe…………………………yananukia.
  • Bainisha maneno katika sentensi ifuatayo.                                      (alama3 )

Yusufu na Ali wamekwenda wapi jamani?

  •  
  • Neno ‘huyu’ limetumikaje katika sentensi hizi?                                                                  (alama 2)
  • Huyu amekuja kwangu.
  • kiwakilishi
  • Mgeni huyu amekuja kwangu.
  • kivumishi
  • Onyesha vivumishi katika sentensi zifuatazo.                                                                      (alama 4)
  • Tunda kubwa limeanngukia mtoto mvivu.
  • Shule maarufu husajili wanafunzi wengi.
  • Taja aina tatu za nomino huku ukizitolea mifano.                                                               (alama 3)
  • Nomino za pekee
  • Nomino za dhahania
  • Nomino za kawaida

(Mwalimu ahakiki mifano)

      18. Andika kwa wingi.

            Upepo wa kusini ulipeperusha mabati ya paa la nyumba na kuharibu kifaamuhimu.          (alama 2)

  • Upepo wa kusini ulipeperusha mabati ya paa za nyumba na kuharibu vifaa muhimu.

19. Tofautisha kati ya shadda na kiimbo.                                                                                         (alama 2)

  • Kiimbo ni kupanda na kushuka kwa sauti wakati mtu anapoongea – kiimbo

20. Tunga sentensi yenye mpangilio ufuatao.                                                                                  (alama 2)

Nomino + Kivumishi + Kitenzi + Kielezi + Kielezi

  • Mwanafunzi mtukutu aliadhibiwa vikali sana.

21. Taja na ueleze aina mbili za ala za matamshi                                                                                         (alama 4)

Toa mifano kwa kila aina.

  • Ala sogezi – viungo vinavyosonga wakati wa kutamka : mfano, ulimi na midomo
  • Ala tuli – viungo ambavyo havisogeisogei wakati wa kutamka: mfano, meno na ufizi.

SEHEMU YA C: FASIHI SIMULIZI

  1. (a) Taja aina zozote tano za nyimbo.                                                                        (alama 5)
  2. Nyimboza kazi
  3. Nyimbo za watoto (bembelezi)
  4. Vifo
  5.  Nyiso
  6. Kisiasa
  7. Mbolezi

 (b) Tofautisha kati ya fasihi simulizi na fasihi andishi                                                      (alama 10)

Tofauti kati ya Fasihi Andishi na Fasihi Simulizi

FASIHI SIMULIZIFASIHI ANDISHI
1.Huwasilishwa kwa njia ya mdomo na/au matendo.Huwasilishwa kwa njia ya maandishi
2.Ni mali ya jamii.Kazi andishi ni mali ya mwandishi (na mchapishaji)
3.Msimulizi anaweza kubadilisha sehemu FulaniKitabu kilichoandikwa hakiwezi kubadilishwa
4.Huhifadhiwa akiliniHuhifadhiwa vitabuni
5.Kazi simulizi hubadilika na wakatiKazi andishi haibadiliki na wakati
6.Huhitaji msimulizi na hadhira yake wawe mahali pamoja wakati wa masimuliziMsomaji anaweza kusoma kitabu cha hadithi peke yake, mahali popote, wakati wowote
7.Mtu yeyote anaweza kutunga na kusimuliaNi lazima mwandishi na msomaji wawe na uwezo wa kusoma
8.Hutumia wahusika wa aina zote. (wanyama, watu, mazimwi n.k)Hutumia wahusika wanadamu.
9Ina tanzu na vipera vingi.Tanzu na vipera ni chache ukilinganisha na Fasihi simulizi
10Ni kongwe.  Imekuwa tangu mwandamu aanze kuishi dunianiIlianza baada ya uvumbuzi wa maandishi.
11Huwasilishiwa mahali maalum km. Miviga kv  arusi maabadini, tohara mtoni, kafara pangoni nk,Kazi ya fasihi andishi yaweza kuwasilishwa au kuendelezwa popote.  Msomaji wa riwaya anaweza kusomea apendapo.
Scroll to Top