Download All Documents- (Ksh 299) Full Day
Hurry during this Offer

BEMBEA YA MAISHA KCSE Questions and Answers- 2024 KCSE Prediction Questions

This is a compilation of Questions from past KCSE, Mocks, Pre/Post-mocks and Internal Exams.  MASWALI YA TAMTHILIA YA BEMBEA YA MAISHA NA TIMOTHY AREGE a) Liweke dondoo hili katika muktadha wake.                                                ( alama 4) b) Fafanua sifa tatu za mzungumzaji maneno haya.                                                  (alama 6) c) Jadili jinsi msemewa maneno haya anavyoendeleza … Read more

Mtiririko wa Maonyesho Katika Bembea ya Maisha-Comprehensive Guide

Part 1 ya Mwongozo Wa Bembea ya Maisha-Comprehensive Guide MTIRIRIKO WA MAONYESHO SEHEMU I    Onyesho I    Nyumbani kwa Sara, Sara ameketi kwenye kochi baada ya kumeza vidonge vya  dawa kwa sababu ya maradhi yanayomsumbua. Yona anayeonekana mchovu na  mwenye kukinai anaingia kwa nyumba.   Onyesho linaanza kwa kuonyeshwa namna Yona asivyofurahia hali katika  nyumba … Read more